SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA KAGERA
16 Oct, 2025
7 Machapisho
🗓️ Tarehe 16 Oktoba,2025
📍Bukaba Mjini-Kagera
Akiwa Bukoba Mjini Mkoa wa Kagera, Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameonesha dhamira thabiti ya kuendeleza uboreshaji wa miundombinu ya barabara ili kufungua fursa zaidi za kiuchumi, kurahisisha usafirishaji wa mazao na huduma, pamoja na kuunganisha vijiji na miji kupitia barabara za kisasa.
Amesisitiza kuwa Kagera itaendelea kuwa kitovu cha biashara, usafiri na maendeleo katika ukanda wa magharibi mwa nchi.
#oktobatunatiki✅✅✅
#fyuchabilastresi
#tokanitoketukatiki ✅
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.