Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

DKT.SAMIA CHAGUO LETU

tunaimani na Rais Dkt.Samia

CHAGUO LA WATANZANIA

KIJANI ILANI CHATBOT

Uzinduzi wa Kijani IlaniChatbot

Bofya hapa Ilani Chatbot

Uongozi na Uwajibikaji

Kazi na Utu, Tunasonga Mbele

uongozi na Uwajibikaji

Kijana na Kijani

Tunazima zote tunawasha Kijani

Tunasonga mbele pamoja

Chaguo letu

Tukimuona Dkt Samia, Tumeiona leo na kesho iliyo salama

Kazi na Utu, Tunasonga Mbele

Wataweza Kweli.....?

Historia imeandikwa Rais Dkt Samia achukua fomu

Kazi na Utu, Tunasonga Mbele

CCM hii tumeipenda wenyewe....

Kazi na Utu, Tunasonga Mbele

Kijana na Kijani

Uzalendo na Uongozi

Tunasonga mbele pamoja

Oktoba tunatiki

Habari na Matukio

Pata taarifa za mambo yanayotokea UVCCM

Ona Habari Zote
SERIKALI KUWAPATIA FURSA WATU WENYE MAHITAJI MAALUMU
23 Oct, 2025 3

SERIKALI KUWAPATIA FURSA WATU WENYE MAHITAJI MAALUMU

Temeke Dar es salaam Mgombea wa kiti cha Urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dkt Samia Suluhu Hassan leo akiwa Temeke ameeleza kuwa Serikali ya Chama Cha Mapinduzi imewapa Fursa mabalimbali watu wenye mahitaji Maalum na kuwapa vipaumbele pia kwenye Ajira.

Soma Zaidi
SERIKALI IMEIMARISHA MHIMILI WA TATU WA DOLA
23 Oct, 2025 3

SERIKALI IMEIMARISHA MHIMILI WA TATU WA DOLA

Temeke- DSM, mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akihitimisha ziara yake ya kampeni Mkoani Dar es Salaam alasir hii amezungumza na wananchi wa wilaya ya Temeke ambapo amewaeleza kuwa katika jitihada za kuhakikisha kila mwananchi anapata haki yake, Serikali imeendelea kuuimarisha mhimili wa tatu wa dola (Mahakama)

Soma Zaidi
TAREHE 29 OKTOBA UELEKEO NI KITUONI
23 Oct, 2025 3

TAREHE 29 OKTOBA UELEKEO NI KITUONI

Kwa kutambua kuwa uchaguzi ni haki ya msingi kikatiba ya kila mwananchi kupiga kura

Soma Zaidi

WAGOMBEA WETU UCHAGUZI 2025

"KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE"

Dkt. Hussein Ali MWINYI

Dkt. Hussein Ali MWINYI

Mgombea Urais Zanzibar

Dkt. Samia Suluhu Hassan

Dkt. Samia Suluhu Hassan

Mgombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Balozi Dkt. Emanuel NChimbi

Balozi Dkt. Emanuel NChimbi

Mgombea Mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzan

Viongozi Wakuu wa UVCCM

Viongozi wetu wanaongoza kwa uadilifu na ujuzi kwa lengo la kuleta mabadiliko chanya kwa vijana wa Tanzania.

Mussa Mwakitinya (MNEC)

Mussa Mwakitinya (MNEC)

N/Katibu Mkuu UVCCM (Bara)

Rehema Sombi(MNEC)

Rehema Sombi(MNEC)

M/Mwenyekiti UVCCM Taifa

Mohammed Ali Kawaida(MCC)

Mohammed Ali Kawaida(MCC)

Mwenyekiti UVCCM Taifa

Halidi Mwinyi (MNEC)

Halidi Mwinyi (MNEC)

Katibu Mkuu UVCCM

Abdi Mahamoud

Abdi Mahamoud

N/Katibu UVCCM Zanzibar

×

Shuhuda za Vijana

Sikiliza kwa vijana wenzako waliofanikiwa kupitia mipango na mafunzo ya UVCCM

Mafunzo ya ujasiriamali niliyoyapata UVCCM yamenifungulia dunia na sasa naajiri vijana wenzangu 12 katika kampuni yangu ya utengenezaji wa viatu. Asanteni kwa msaada na mwelekeo mzuri.

Asha Mwinyi
Asha Mwinyi

Mjasiriamali, Zanzibar

Kupitia mafunzo ya UVCCM nimeweza kuanzisha biashara ya kilimo cha kisasa na sasa nina mazao bora ya mbogamboga ninayouza kwa wanakijiji wangu na hata kwenye soko la mjini.

Juma Hassan
Juma Hassan

Mkulima, Arusha