HABARI MPYA
Habari na Matukio
Pata taarifa za mambo yanayotokea UVCCM
SERIKALI KUWAPATIA FURSA WATU WENYE MAHITAJI MAALUMU
Temeke Dar es salaam Mgombea wa kiti cha Urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dkt Samia Suluhu Hassan leo akiwa Temeke ameeleza kuwa Serikali ya Chama Cha Mapinduzi imewapa Fursa mabalimbali watu wenye mahitaji Maalum na kuwapa vipaumbele pia kwenye Ajira.
Soma Zaidi
SERIKALI IMEIMARISHA MHIMILI WA TATU WA DOLA
Temeke- DSM, mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akihitimisha ziara yake ya kampeni Mkoani Dar es Salaam alasir hii amezungumza na wananchi wa wilaya ya Temeke ambapo amewaeleza kuwa katika jitihada za kuhakikisha kila mwananchi anapata haki yake, Serikali imeendelea kuuimarisha mhimili wa tatu wa dola (Mahakama)
Soma Zaidi
TAREHE 29 OKTOBA UELEKEO NI KITUONI
Kwa kutambua kuwa uchaguzi ni haki ya msingi kikatiba ya kila mwananchi kupiga kura
Soma ZaidiWAGOMBEA WETU UCHAGUZI 2025
"KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE"
Dkt. Hussein Ali MWINYI
Mgombea Urais Zanzibar
Dkt. Samia Suluhu Hassan
Mgombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Balozi Dkt. Emanuel NChimbi
Mgombea Mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzan
Viongozi Wakuu wa UVCCM
Viongozi wetu wanaongoza kwa uadilifu na ujuzi kwa lengo la kuleta mabadiliko chanya kwa vijana wa Tanzania.
WAGOMBEA NAFASI YA UBUNGE VITI MAALUMU KUTOKA KUNDI LA VIJANA
Shuhuda za Vijana
Sikiliza kwa vijana wenzako waliofanikiwa kupitia mipango na mafunzo ya UVCCM