UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

SERIKALI KUWAPATIA FURSA WATU WENYE MAHITAJI MAALUMU
23 Oct, 2025
00:00

SERIKALI KUWAPATIA FURSA WATU WENYE MAHITAJI MAALUMU

Temeke Dar es salaam Mgombea wa kiti cha Urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dkt Samia Suluhu Hassan leo akiwa Temeke ameeleza kuwa Serikali ya Chama Cha Mapinduzi imewapa Fursa mabalimbali watu wenye mahitaji Maalum na kuwapa vipaumbele pia kwenye Ajira.

Soma Zaidi
SERIKALI IMEIMARISHA MHIMILI WA TATU WA DOLA
23 Oct, 2025
00:00

SERIKALI IMEIMARISHA MHIMILI WA TATU WA DOLA

Temeke- DSM, mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akihitimisha ziara yake ya kampeni Mkoani Dar es Salaam alasir hii amezungumza na wananchi wa wilaya ya Temeke ambapo amewaeleza kuwa katika jitihada za kuhakikisha kila mwananchi anapata haki yake, Serikali imeendelea kuuimarisha mhimili wa tatu wa dola (Mahakama)

Soma Zaidi
TAREHE 29 OKTOBA UELEKEO NI KITUONI
23 Oct, 2025
00:00

TAREHE 29 OKTOBA UELEKEO NI KITUONI

Kwa kutambua kuwa uchaguzi ni haki ya msingi kikatiba ya kila mwananchi kupiga kura

Soma Zaidi
TABASAMU LA MAENDELEO, SAFARI YA KUTIKI OKTOBA 29
23 Oct, 2025
00:00

TABASAMU LA MAENDELEO, SAFARI YA KUTIKI OKTOBA 29

Ni yeye akiwa amevalia miwani yake ya njano na tabasamu la matumaini, kijana huyu anaonesha ari na uzalendo kuelekea uchaguzi wa Oktoba 29. Bila kusahau Kichinjio chake, ameshikilia mfano wa karatasi ya kura, ishara ya dhamira yake ya kuchagua maendeleo na umoja.

Soma Zaidi
SERIKALI KUFANYA MAREKEBISHO MAKUBWA YA RELI YA KATI
22 Oct, 2025
00:00

SERIKALI KUFANYA MAREKEBISHO MAKUBWA YA RELI YA KATI

Ilala -Dar es Salaam,Serikali ya Chama Cha Mapinduzi Chini ya Mgombea wake wa Urais Dkt Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa watafanya Marekebisho makubwa ya Reli ya Kati, Reli ya TAZARA ili ifanye kazi vizuri ili kuweza kuchochea Maendeleo mazuri ya Taifa Letu.

Soma Zaidi
DKT SAMIA TUNA KAMPUNI ZAIDI YA NNE (4) ZA USAFIRI MWENDOKASI DAR
22 Oct, 2025
00:00

DKT SAMIA TUNA KAMPUNI ZAIDI YA NNE (4) ZA USAFIRI MWENDOKASI DAR

Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa tiketi ya CCM *Dkt. Samia Suluhu Hassan,* ameonyesha dhamira thabiti ya kuboresha huduma za usafiri jijini Dar es Salaam kupitia mfumo wa Usafiri wa Mabasi ya Mwendokasi (UDART). Hivi karibuni, Serikali inaendelea kufanya mazungumzo na kampuni nne kuendesha huduma za mabasi katika njia zinazofikia vituo vya mwisho vya mwendokasi

Soma Zaidi