SERIKALI KUJENGA STENDI NA SOKO LA KISASA NKASI
18 Oct, 2025
53 Machapisho
ðŸ—“ï¸ Jumamosi 18 Oktoba,2025
ðŸ“Rukwa-Nkasi
Mgomba Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake itajenga stand na soko la kisasa Nkasi ili kuboresha mazingira ya biashara na kuongeza mapato ya wafanyabiashara.
Akiongea na wananchi, Dkt. Samia amesema ujenzi wa soko hilo utakuwa na Miundombinu ya kisasa ambayo itawawezesha wafanyabiashara kufanya biashara zao kwa urahisi na kuongeza tija, Aidha amewahakikishia wananchi kuwa serikali yake itaendelea kuwekeza katika miradi ya maendeleo ambayo itawanufaisha moja kwa moja wafanyabiashara na wananchi kwa ujumla.
#oktobatunatiki✅✅✅
#fyuchabilastresi
#tokanitoketukatiki ✅
Habari Zinazohusiana
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
08 Feb, 2026
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo