SERIKALI KUJENGA STENDI NA SOKO LA KISASA NKASI
18 Oct, 2025
8 Machapisho
🗓️ Jumamosi 18 Oktoba,2025
📍Rukwa-Nkasi
Mgomba Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake itajenga stand na soko la kisasa Nkasi ili kuboresha mazingira ya biashara na kuongeza mapato ya wafanyabiashara.
Akiongea na wananchi, Dkt. Samia amesema ujenzi wa soko hilo utakuwa na Miundombinu ya kisasa ambayo itawawezesha wafanyabiashara kufanya biashara zao kwa urahisi na kuongeza tija, Aidha amewahakikishia wananchi kuwa serikali yake itaendelea kuwekeza katika miradi ya maendeleo ambayo itawanufaisha moja kwa moja wafanyabiashara na wananchi kwa ujumla.
#oktobatunatikiâś…âś…âś…
#fyuchabilastresi
#tokanitoketukatiki âś…
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.