TANZANIA INASHIKA NAFASI YA PILI UZALISHAJI MAHINDI NA TUMBAKU AFRIKA
20 Oct, 2025
77 Machapisho
Mkuranga - Pwani, Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye ni Mgombea wa kiti Cha urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Leo akiwa Mkoani Pwani akiendelea kuinadi ilani ya Chama Cha Mapinduzi ameeleza kuwa Tanzania tumefikia hatua nzuri ya uzalishaji wa mazao ya kilimo na Tumbaku inayosaidia katika kukuza Uchumi wa Nchi.
Pia Dkt Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa Mazao ya Mahindi yanasaidia kwenye swala la uzalishaji wa Chakula kinachotumika Ndani ya Nchi na kwa asilimia kubwa imetokomeza tatizo la Njaa ndani ya Taifa letu la Tanzania.
#oktobatunatiki ✅✅✅
#fyuchabilastresi
#tokanitoketukatiki ✅
Habari Zinazohusiana
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
08 Feb, 2026
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo