UVCCM HAKUNA KUPOA, TUTAFIKA KILA KONA NA WAGOMBEA WETU
04 Sep, 2025
118 Machapisho
Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Bara, Ndg. Mussa Mwakitinya akiwa ameambatana na Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji UVCCM Taifa na Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kilimanjaro, Ndg. Ivan Moshi na Mkuu wa Idara ya Uhusiano Kimataifa, Vyuo na Vyuo Vikuu, Ndg. Emanuel Martine wameendelea kumuunga mkono Mgombea Mwenza wa Urais wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiendelea na kampeni mkoani Shinyanga.
Leo tarehe 04 Septemba 2025 Balozi Dk. Nchimbi yupo wilaya ya Kahama eneo la Kagongwa, Isaka na Ushetu ambapo viongozi hao wa UVCCM wanaobeba dhamana ya Vijana wamehakikisha vijana wanajaa kwa wingi kusikiliza sera za CCM ambazo zinagusa maendeleo yao ikiwemo ajira, afya, elimu na miundombinu.
#oktonatunatiki
#kazinaututunasongambele
#tunazimazotetunawashakijani
#fyuchabilastresi
Habari Zinazohusiana
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
08 Feb, 2026
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo