DKT. SAMIA KIONGOZI MWENYE UPENDO
04 Sep, 2025
39 Machapisho
Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kiongozi mwenye upendo kwa wananchi wake, anayejali utu na maisha bora ya kila Mtanzania. Upendo huu umejidhihirisha kupitia maamuzi yake ya kuwekeza zaidi kwenye afya, elimu, maji safi, nishati, miundombinu na uwezeshaji wa vijana na wanawake na maendeleo kiujumla.
Chini ya Ilani ya CCM 2020–2025, Tanzania tumeshuhudia mageuzi makubwa ya maendeleo yanayogusa maisha ya watu wote. Dkt. Samia ni Mama wa Maendeleo na mlezi wa taifa, anayesimamia sera zenye kugusa maisha ya kila mmoja kwa usawa.
Wananchi wanaojitokeza kwa maelfu kila anapopita ni ushahidi kwamba upendo wake umewagusa, na imani yao kwake ni ya kweli.
“Oktoba 29 tunamtiki Dkt. Samia – Kiongozi mwenye upendo, Mama wa Maendeleo.”
#KiongoziMwenyeUpendo
#DktSamiaMamaWaMaendeleo
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.