DKT. SAMIA KIONGOZI MWENYE UPENDO
04 Sep, 2025
89 Machapisho
Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kiongozi mwenye upendo kwa wananchi wake, anayejali utu na maisha bora ya kila Mtanzania. Upendo huu umejidhihirisha kupitia maamuzi yake ya kuwekeza zaidi kwenye afya, elimu, maji safi, nishati, miundombinu na uwezeshaji wa vijana na wanawake na maendeleo kiujumla.
Chini ya Ilani ya CCM 2020–2025, Tanzania tumeshuhudia mageuzi makubwa ya maendeleo yanayogusa maisha ya watu wote. Dkt. Samia ni Mama wa Maendeleo na mlezi wa taifa, anayesimamia sera zenye kugusa maisha ya kila mmoja kwa usawa.
Wananchi wanaojitokeza kwa maelfu kila anapopita ni ushahidi kwamba upendo wake umewagusa, na imani yao kwake ni ya kweli.
“Oktoba 29 tunamtiki Dkt. Samia – Kiongozi mwenye upendo, Mama wa Maendeleo.â€
#KiongoziMwenyeUpendo
#DktSamiaMamaWaMaendeleo
Habari Zinazohusiana
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
08 Feb, 2026
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo