JE, UMEUONA MKONO WA MAMA ITIGI-SINGIDA?
09 Sep, 2025
85 Machapisho
Leo ni siku ya kihistoria kwa wananchi wa Itigi, Singida, ambao wamejumuika kwa Shauku kubwa kumpokea Dkt Samia Suluhu Hassan Mgombea wa Urais aliyeonyesha nyuso za furaha, akiwapungia mikono wananchi na wakazi wa Itigi, akionyesha ukaribu na upendo kwa kila mmoja, Sasa ni wakati wa kuungana, kuimarisha mshikamano wa wananchi na kuonyesha upendo kwa Maendeleo.
Katika mkutano huu wa kampeni, wananchi walipata nafasi ya kusikia kwa ukaribu sera na mipango ya maendeleo inayolenga kuboresha maisha ya kila Mwana-Itigi,Singida na Taifa Kwa Ujumla, Ukitiki Kwa Mama Umetiki Kwa Maendeleo Bila Stresi,.
Ni hakika kuwa uongozi wa Mama Dkt Samia Suluhu Hassan Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM unalenga kuhakikisha kila sekta ya kijamii na kiuchumi inasonga mbele Kutoa elimu bora, afya kwa wote, kilimo cha kisasa, miundombinu ya barabara na maji hadi uwezeshaji wa vijana na wanawake yote yameelezwa kwa uwazi na shauku, Wananchi wa Itigi wamepata motisha na matumaini mapya ya maisha bora kupitia mpango huu wa maendeleo.
#KaziNaUtuTunasongaMbele
#OktobaTunatiki
#FyuchaBilaStresi
Habari Zinazohusiana
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
08 Feb, 2026
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo