SERIKALI YA CCM KUTOA HUDUMA YA PEMBEJEO NA BEI ZA PAMBA BURE.
09 Oct, 2025
56 Machapisho
ðŸ—“ï¸ Jumatano tar,08/10/2025
ðŸ“Mwanza-Tanzamia
Leo akiwa Jijini Mwanza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Samia Suluhu Hassan Ametangaza kwa msisitizo kuwa Serikali ya CCM Itaendelea kutoa huduma ya pembejeo na mbegu za pamba bure kwa wakulima Ikiwa ni sehemu ya mpango wa kuinua sekta ya kilimo na kuongeza kipato cha wananchi.
Ameeleza kuwa hatua hiyo inalenga kuimarisha uchumi wa vijijini, kuongeza thamani ya mazao ya wakulima na kuhakikisha kila Mtanzania ananufaika na juhudi za serikali katika kujenga Taifa lenye ustawi, usawa na Maendeleo Endelevu.
#OktobaTunatiki
#FyuchaBilaStresi
#TokaTutokeTukatiki
Habari Zinazohusiana
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
08 Feb, 2026
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo