VIWANDA VYA KUCHAKATA MAZIWA YA NG'OMBE KUJENGWA BUKOMBE
12 Oct, 2025
54 Machapisho
ðŸ—“ï¸ Tarehe 12/10/2025
📠Bukombe -Geita
Katika hotuba yake yenye hamasa kubwa iliyowasha matumaini mapya kwa wananchi wa Bukombe mkoani Geita Dkt. Samia Suluhu Hassan Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ametangaza mpango kabambe wa kujenga viwanda vya kisasa vya kuchakata maziwa ya ng’ombe vitakavyobadili Taswira ya uchumi wa mifugo nchini.
Ameeleza kuwa miradi hiyo itazalisha maelfu ya ajira, kuimarisha soko la maziwa na bidhaa zake na kuongeza kipato cha wafugaji kupitia Uchakataji wa Kisasa, hatua hii Inaashiria Mwelekeo Thabiti wa Dkt. Samia wa kuijenga Bukombe kuwa kitovu cha uzalishaji na uchumi wa Mifugo, Ikidhihirisha dhamira yake ya dhati ya kuinua maisha ya wananchi kupitia Tanzania ya Viwanda na Maendeleo Endelevu.
#OktobaTunatiki
#FyuchaBilaStresi
#TokaNitokeTukatiki
Habari Zinazohusiana
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
08 Feb, 2026
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo