AMANI YA TAIFA LETU YAMVUTIA WENJE CCM
14 Oct, 2025
12 Machapisho
🗓 13 Oktoba 2025
📍 Chato
Aliekuwa Mwenyekiti wa Chadema ukanda wa ziwa Victoria na Mbunge mstaafu wa Jimbo la Nyamagana Ndugu. Ezekiel D Wenje amejiunga rasmi na Chama cha Mapinduzi leo Tarehe 13/10/2025 katika mkutano wa CCM wa kampeni Wilaya ya Chato Mkoani Geita.
Akihutubia Katika umati huo, Ndugu. Wenje amesema kilichomsukuma yeye kujiunga na Chama cha Mapinduzi ni amani tuliyonayo toka tumepata uhuru, kwa maana hiyo Chama cha Mapinduzi ndicho chama pekee ambacho kiweweza kusimamia amani ya Taifa letu.
#OktobaTunatiki ✅✅✅
#FyuchaBilaStresi
#TokaNitokeTukatiki✅
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.