AMANI YA TAIFA LETU YAMVUTIA WENJE CCM
14 Oct, 2025
58 Machapisho
🗓 13 Oktoba 2025
📠Chato
Aliekuwa Mwenyekiti wa Chadema ukanda wa ziwa Victoria na Mbunge mstaafu wa Jimbo la Nyamagana Ndugu. Ezekiel D Wenje amejiunga rasmi na Chama cha Mapinduzi leo Tarehe 13/10/2025 katika mkutano wa CCM wa kampeni Wilaya ya Chato Mkoani Geita.
Akihutubia Katika umati huo, Ndugu. Wenje amesema kilichomsukuma yeye kujiunga na Chama cha Mapinduzi ni amani tuliyonayo toka tumepata uhuru, kwa maana hiyo Chama cha Mapinduzi ndicho chama pekee ambacho kiweweza kusimamia amani ya Taifa letu.
#OktobaTunatiki ✅✅✅
#FyuchaBilaStresi
#TokaNitokeTukatiki✅
Habari Zinazohusiana
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
08 Feb, 2026
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo