Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Kazi na Utu

Kazi na Utu Tunasonga Mbele

Fyucha bila stresi

Happy Birthday Rais Dkt.Samia

Heri ya Siku ya Kuzaliwa Rais Dkt.Samia

Happy birthday Rais Dkt.Samia

CCM HII TUMEIPENDA WENYEWE

Matembezi ya miaka 62 ya Mapinduzi ya zanzibar

Kazi na Utu, Tunasonga mbele

AMANI NI FURSA

Amani ndio msingi wa maendeleo yetu

AMANI NI FURSA

KIJANI ILANI CHATBOT

Uzinduzi wa Kijani IlaniChatbot

Bofya hapa Ilani Chatbot

Uongozi na Uwajibikaji

Kazi na Utu, Tunasonga Mbele

uongozi na Uwajibikaji

Kijana na Kijani

Tunazima zote tunawasha Kijani

Tunasonga mbele pamoja

Chaguo letu

Tukimuona Dkt Samia, Tumeiona leo na kesho iliyo salama

Kazi na Utu, Tunasonga Mbele

Wataweza Kweli.....?

CCM chama imara

Kazi na Utu, Tunasonga Mbele

Uzalendo na Uongozi

Tunasonga mbele pamoja

Oktoba tunatiki

Habari na Matukio

Pata taarifa za mambo yanayotokea UVCCM

Ona Habari Zote
ALPHANGA BLACK ALAMBA TUZO KUBWA AFRIKA MASHARIKI
05 Apr, 2026 37

ALPHANGA BLACK ALAMBA TUZO KUBWA AFRIKA MASHARIKI

Ndg. Alphonce Muyinga maarufu kama Alphanga black ametunukiwa tuzo ya Kiongozi kijana anayechipukia na Kuvutia *(Emerging and Influential Leader)* katika usiku wa tuzo za Afrika Mashariki,

Soma Zaidi
MWENYEKITI UVCCM TAIFA ASHIRIKI KUAGA MWILI WA HAYATI LUKUVI
28 Mar, 2026 50

MWENYEKITI UVCCM TAIFA ASHIRIKI KUAGA MWILI WA HAYATI LUKUVI

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa, Ndugu Mohammed Ali Kawaida (MCC), ameshiriki katika ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Isimani na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Hayati William Vangimembe Lukuvi.

Soma Zaidi
UVCCM KAGERA YAMPOKEA KATIBU WA SIASA, ITIKADI NA UENEZI TAIFA KWA SHANGWE
27 Mar, 2026 33

UVCCM KAGERA YAMPOKEA KATIBU WA SIASA, ITIKADI NA UENEZI TAIFA KWA SHANGWE

Bukoba, Kagera Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Kagera umempokea kwa heshima na shangwe Ndugu Kenani Kihongosi, Katibu wa Siasa, Itikadi na Uenezi Taifa, katika ziara yake ya siku tatu mkoani humo.

Soma Zaidi

"KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE"

Dkt. Samia Suluhu Hassan

Dkt. Samia Suluhu Hassan

Mwenyekiti wa Chama cha CCM

Dkt. Hussein Ali Mwinyi

Dkt. Hussein Ali Mwinyi

M/Mwenyekiti wa Zanzibar

Ndugu Stephen Masato Wasira

Ndugu Stephen Masato Wasira

M/Mwenyekiti wa Bara

Dkt. Asha Rose Migiro

Dkt. Asha Rose Migiro

Katibu Mkuu wa Chama cha CCM

Viongozi Wakuu wa UVCCM

Viongozi wetu wanaongoza kwa uadilifu na ujuzi kwa lengo la kuleta mabadiliko chanya kwa vijana wa Tanzania.

Mohammed Ali Kawaida(MCC)

Mohammed Ali Kawaida(MCC)

Mwenyekiti UVCCM Taifa

Rehema Sombi(MNEC)

Rehema Sombi(MNEC)

M/Mwenyekiti UVCCM

Halidi Mwinyi (MNEC)

Halidi Mwinyi (MNEC)

Katibu Mkuu UVCCM

Mussa Mwakitinya (MNEC)

Mussa Mwakitinya (MNEC)

Naibu Katibu Mkuu UVCCM bara

Abdi Mahamoud

Abdi Mahamoud

Naibu Katibu Mkuu UVCCM Zanzibar

Shuhuda za Vijana

Sikiliza kwa vijana wenzako waliofanikiwa kupitia mipango na mafunzo ya UVCCM

Mafunzo ya ujasiriamali niliyoyapata UVCCM yamenifungulia dunia na sasa naajiri vijana wenzangu 12 katika kampuni yangu ya utengenezaji wa viatu. Asanteni kwa msaada na mwelekeo mzuri.

Asha Mwinyi
Asha Mwinyi

Mjasiriamali, Zanzibar

Kupitia mafunzo ya UVCCM nimeweza kuanzisha biashara ya kilimo cha kisasa na sasa nina mazao bora ya mbogamboga ninayouza kwa wanakijiji wangu na hata kwenye soko la mjini.

Juma Hassan
Juma Hassan

Mkulima, Arusha