UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

MRADI WA MAJI WA ZIWA VIKTORIA KUWANUFAISHA WANAMULEBA

15 Oct, 2025 17 Machapisho
🗓️ 15 Oktoba, 2025
📍Muleba-Kagera

Ahadi za Dkt. Samia Suluhu Hassan zinaendelea kutafsiriwa kwa vitendo kupitia utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati inayogusa maisha ya wananchi moja kwa moja, ikiwemo mradi wa maji safi na salama kutoka Ziwa Viktoria unaoelekezwa hadi Wilaya ya Muleba. 

Mradi huu ni ushahidi wa dhamira thabiti ya Serikali ya Awamu ya Sita kuhakikisha kila Mtanzania anapata huduma bora za kijamii bila Ubaguzi wa kijiografia, kijinsia au kipato, Kupitia mradi huu, maelfu ya wananchi wa Muleba watanufaika kwa kupunguza adha ya kutembea umbali mrefu kutafuta Maji, huku pia Ukichochea afya bora, uchumi wa kaya na maendeleo endelevu kwa jamii nzima Huu ndiyo ushahidi wa uongozi makini unaotekeleza kwa vitendo falsafa ya “Kazi Iendelee, Maisha Yaboreke.”

#OktobaTunatiki
#FyuchaBilaStresi
#TokaNitokeTukatiki