SERIKALI KUTOA NYENZO NA MITAJI KUWEZESHA UVUVI WA KISASA
16 Oct, 2025
8 Machapisho
📍Bukoba - Kagera
🗓️ 16 Oktoba, 2025
Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye ni Mgombea wa kiti cha urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi akiwa Wilaya Ya Bukoba Mkoani Kagera amesema kuwa wataimarisha Sekta ya Uvuvi kwa kwa kutoa Nyenzo mbalimbali zitakazosaidia kwenye uvuvi na kutoa mitaji kwa wavuvi.
Serikali ya CCM pia, chini ya Dkt Samia Suluhu Hassan imejipanga kubadilika Sekta ya uvuvi kwa kuipeleka katika viwango vya juu kwa kufanya uvuvi wa kisasa.
#oktobatunatiki ✅✅✅
#fyuchabilastresi
#tokanitoketukatiki ✅
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.