UJENZI WA MINARA 63 KURAHISISHA HUDUMA YA MAWASILIANO KATAVI
18 Oct, 2025
8 Machapisho
πMpanda - Katavi
ποΈ Jumamosi18 Oktoka, 2025
Serikali ya Chama Cha Mapinduzi kwa awamu iliyopita imefanya ukamilishaji wa Ujenzi wa Minada 63 Na wapo kwenye mchakato wa kumalizia Mnara mmoja Na kufikisha Ujenzi wa Minara 64 kwa Lengo la kurahisisha Mawasiliano ndani ya Mkoa wa Katavi.
Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye ni Mgombea wa urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi ameeleza kuwa watazidi kuimarisha Sekta hiyo ya mawasiliano, itakayopelekea kukua kwa Uchumi Ndani ya mkoa wa Katavi.
#oktobatunatiki β
β
β
#fyuchabilastresi
#tokanitoketukatiki β
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.