29 OKTOBA TUNATIKI AFYA YA MAMA NA MTOTO
18 Oct, 2025
46 Machapisho
🗓ï¸Jumamosi Tarehe 18 Oktoba,2025
ðŸ“Nkasi-Rukwa
Ni wakati wa kizazi kipya cha vijana wa CCM kusimama imara kwa mustakabali wa Taifa lenye afya bora kwa wote, Tukithibitisha kwa vitendo dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuboresha huduma za afya ya mama na mtoto.
Kupitia ujenzi wa vituo vya afya, upatikanaji wa dawa, na huduma za uzazi salama, Tanzania inajenga msingi wa kizazi chenye uhai, Matumaini na ustawi, Tunaamini mama mwenye afya ni uti wa mgongo wa familia mtoto mwenye huduma bora ni kesho ya taifa. Kila kura ni uhai, kila tikii ni ahadi ya upendo kwa vizazi vijavyo Samia anatekeleza sisi vijana tunathibitisha.
#oktobatunatiki✅✅✅
#fyuchabilastresi
#tokanitoketukatiki ✅
Habari Zinazohusiana
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
08 Feb, 2026
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo