29 OKTOBA TUNATIKI AFYA YA MAMA NA MTOTO
18 Oct, 2025
6 Machapisho
🗓️Jumamosi Tarehe 18 Oktoba,2025
📍Nkasi-Rukwa
Ni wakati wa kizazi kipya cha vijana wa CCM kusimama imara kwa mustakabali wa Taifa lenye afya bora kwa wote, Tukithibitisha kwa vitendo dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuboresha huduma za afya ya mama na mtoto.
Kupitia ujenzi wa vituo vya afya, upatikanaji wa dawa, na huduma za uzazi salama, Tanzania inajenga msingi wa kizazi chenye uhai, Matumaini na ustawi, Tunaamini mama mwenye afya ni uti wa mgongo wa familia mtoto mwenye huduma bora ni kesho ya taifa. Kila kura ni uhai, kila tikii ni ahadi ya upendo kwa vizazi vijavyo Samia anatekeleza sisi vijana tunathibitisha.
#oktobatunatiki✅✅✅
#fyuchabilastresi
#tokanitoketukatiki ✅
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.