HOTUBA FUPI YA WAZIRI MKUU MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
13 Nov, 2025
53 Machapisho
Waziri Mkuu mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba baada ya kupitishwa kwa kishindo na wabunge alipata wasaa wa kuhutubia kwa uchache.
Katika hotuba yake fupi Dkt. Mwigulu alitumia muda huo kumpongeza dkt. Samia Suluhu Hassan na serikali yake kwa ujumla. Kupitia pongezi hizi alikumbusha kuwa,
"Katika miaka mitano, Dkt. Samia Suluhu Hassan amejitambulisha kuwa ni Rais anayetaka matokeo ya haraka yanayotatua matatizo ya watazania"
Dkt. Mwigulu anatarajiwa kuapishwa rasmi na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hapo kesho tarehe 14 Novemba, 2025 Ikulu Chamwino, Dodoma kuanzia Saa 4:00 Asubuhi.
#KaziNaUtuTunasongaMbele
Habari Zinazohusiana
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
08 Feb, 2026
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko