HOTUBA YA KIHISTORIA YA DKT SAMIA KUFUNGUA BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
13 Nov, 2025
41 Machapisho
Ni tukio lenye uzito wa kipekee katika historia ya Taifa letu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufungua rasmi Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kesho, tarehe 14 Novemba 2025, kuanzia saa 9 alasiri, bungeni Dodoma.
Hotuba hii inasubiriwa kwa hamu kubwa na Watanzania wote, ikitarajiwa kuelekeza dira ya Maendeleo, umoja na mageuzi katika sekta zote muhimu za Taifa.
Ni wakati wa kutazama mbele kwa matumaini mapya, kasi mpya na mwelekeo mpya wa ujenzi wa Tanzania yenye uchumi Imara, watu wenye ustawi, na uongozi wa uwazi na uadilifu.
Kupitia tukio hili, Taifa linafungua ukurasa mpya wa safari ya pamoja safari ya kuimarisha demokrasia, kujenga uchumi shindani na kulinda amani tuliyonayo.
Habari Zinazohusiana
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
08 Feb, 2026
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko