MWENYEKITI WA UVCCM NA MJUMBE WA KAMATI KUU, NDG. MOHAMMED ALI KAWAIDA, AONGOZA KIKAO CHA BARAZA KUU LA UVCCM
26 Nov, 2025
214 Machapisho
Dodoma, 26 Novemba 2025 — Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM (MCC), Ndugu Mohammed Ali Kawaida, ameongoza kikao cha Baraza Kuu la UVCCM kilichofanyika katika Ukumbi wa NEC, Makao Makuu ya CCM, Dodoma.
Baraza Kuu la UVCCM ni chombo muhimu cha maamuzi ndani ya jumuiya ya UVCCM na Vijana wote nchini Tanzania, Baraza kuu linahusika kupanga mikakati, kupanga mwelekeo na kusimamia utekelezaji wa shughuli za vijana nchini.UVCCM imeendelea kuwajengea uwezo vijana wa kitanzania katika kusimama kama viongozi wa sasa na wa baadaye.
Habari Zinazohusiana
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
08 Feb, 2026
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko