BALOZI NCHIMBI AHUTUBIA WANANCHI ISAKA, SHINYANGA
04 Sep, 2025
77 Machapisho
Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, leo amehutubia wananchi wa Isaka mkoani Shinyanga baada ya wananchi kumzuilia kwa shangwe kubwa akiwa njiani kuelekea Kagongwa kwa ajili ya Mkutano wa hadhara.
Katika hotuba yake, Balozi Nchimbi aliwaomba wananchi wa Isaka kumpa ridhaa Dkt. Samia Suluhu Hassan na wagombea wote wa CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, ili kazi kubwa ya maendeleo iliyoanza chini ya CCM iendelee kuimarisha maisha ya Waisaka na Watanzania kwa ujumla.
Wananchi wa Isaka kwa umoja wao wamesema wazi:
“Oktoba ni Samia – Mitano Tena kwa Maendeleo!â€
Habari Zinazohusiana
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
08 Feb, 2026
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo