VIJANA TABORA WAPATA FURSA ZA AJIRA MPYA KUPITIA ILANI YA CCM 2025–2030
11 Sep, 2025
40 Machapisho
🔛 Alhamisi,Tar 11/09/2025
🆕ILANI YA CCM
Kazi kwa Vijana, Maendeleo kwa Taifa
Kupitia Ilani ya CCM 2025 – 2030, Serikali imejipanga kuhakikisha vijana wanapata nafasi za ajira zenye tija Katika miaka mitano ijayo, mamilioni ya vijana watanufaika na fursa hizi ambapo Mkoa wa Tabora nao upo mstari wa mbele kupata ajira mpya kwenye ualimu na afya.
📲 Yote haya na mengine zaidi unaweza kuyapata kwa urahisi kupitia Ilani ChatBot https://kijanichatbot.or.tz/, rafiki yako wa kidijitali anayekupa majibu ya papo kwa papo kuhusu Ilani ya CCM, Hii ndiyo nguvu ya teknolojia inayowezesha kila kijana kupata maarifa kwa njia rahisi na yenye radha ya kisasa.
Huu ndiyo wakati wa vijana kushiriki kikamilifu katika kujenga uchumi wa Taifa letu.
#KaziNaUtuTunasongaMbele
#OktobaTunatiki
#FyuchaBilaStresi
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.