UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

SERIKALI ITAJENGA MATENKI MAKUBWA 3 YA KUHIFADHI MAFUTA ZANZIBAR

16 Sep, 2025 35 Machapisho
🗓️ 15 Septemba 2025
📍 Pemba-Zanzibar

Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya CCM ambae pia ni rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, Leo amezindua kampeni Gombani-Zanzibar.

Katika uzinduzi huo, Dkt. Mwinyi alisema, kuna wakati nchi yetu mfumuko wa bei unaongezeka kutokana na kupanda kwa mafuta ya petroli na diseli, hivyo serikali itakwenda kujenga matanki makubwa 3 ya kuhifadhi mafuta angalau miezi 3 yakae ndani ya Nchi yetu ili tusikose na kuathirika na upandaji wa bei ya mafuta nchini."

Dkt. Mwinyi aliongeza kuwa, hifadhi hii ya mafuta itasaidia kupunguza mfumuko wa bei ya bidhaa katika Nchi yetu.

#OktobaTunatiki
#FyuchaBilaStresi
#KaziNaUtuTunasongaMbele