SERIKALI ITAJENGA MATENKI MAKUBWA 3 YA KUHIFADHI MAFUTA ZANZIBAR
16 Sep, 2025
77 Machapisho
ðŸ—“ï¸ 15 Septemba 2025
📠Pemba-Zanzibar
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya CCM ambae pia ni rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, Leo amezindua kampeni Gombani-Zanzibar.
Katika uzinduzi huo, Dkt. Mwinyi alisema, kuna wakati nchi yetu mfumuko wa bei unaongezeka kutokana na kupanda kwa mafuta ya petroli na diseli, hivyo serikali itakwenda kujenga matanki makubwa 3 ya kuhifadhi mafuta angalau miezi 3 yakae ndani ya Nchi yetu ili tusikose na kuathirika na upandaji wa bei ya mafuta nchini."
Dkt. Mwinyi aliongeza kuwa, hifadhi hii ya mafuta itasaidia kupunguza mfumuko wa bei ya bidhaa katika Nchi yetu.
#OktobaTunatiki
#FyuchaBilaStresi
#KaziNaUtuTunasongaMbele
Habari Zinazohusiana
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
08 Feb, 2026
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo