Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)
BI' MKUBWA KAFIKA | UVCCM
Habari Nyingine

BI' MKUBWA KAFIKA

17 Sep, 2025 Admin User 76 views min read
🗓️ 17 Septemba 2025
📍 Zanzibar 

Mgombea wa Urais  wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili Makunduchi, Zanzibar, akiendelea na ziara yake ya kampeni kuelekea uchaguzi mkuu.

Mapokezi makubwa ya wananchi na wanachama wa CCM yameonyesha mshikamano wa chama na imani kubwa kwa Dkt. Samia, ambapo anatarajia kufanya mkutano Mwehe (Makunduchi).

#OktobaTunatiki
#FyuchaBilaStresi
#KaziNaUtuTunasongaMbele