CHEI CHEI CHAKE CHAKE
19 Sep, 2025
62 Machapisho
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan atawasha moto wa Ilani Mkoani Kusini Pemba ambapo atafanya Mkutano Mkubwa wa Hadhara Chake Chake, Gombani Kale leo Ijumaa 19 Septemba, 2025.
Vijana wapo tayari kwa nguvu zote kusikiliza Ilani Bora ya CCM 2025-2030 inayogusa maisha ya Kijana na Maisha ya Kila Mtanzania na Sera makini za Maendeleo endelevu ya Taifa letu.
Matangazo ya Mkutano huu utayapata Mubashara kupitia akaunti yetu ya YouTube: UVCCM TV
#KazinaUtuTunasongaMbele
#Oktobatunatiki✅✅✅
#FyuchaBilaStresi
Habari Zinazohusiana
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
08 Feb, 2026
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko