Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, ili kuendelea na kampeni za CCM za kunadi sera za CCM
19 Sep, 2025
11 Machapisho
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduziā¢
(CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, ili kuendelea na kampeni za CCM za kunadi sera za chama hicho.
Dkt. Nchimbi amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Songea leo Septemba 19, 2025, na kupokelewa na wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Ruvuma.
Kwa mujibu wa ratiba ya kampeni za mgombea mwenza mkoani Ruvuma, Dkt. Nchimbi atafanya mikutabo ya kampeni katika maeneo ya Litui, Mbamba. Bay (Nyasa), Songea Mjini na Madaba.
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.