MBINGA, SERIKALI YA CCM YAAHIDI KUWATUMIKIA WANANCHI
21 Sep, 2025
19 Machapisho
🗓️ 21 Septemba 2025
📍 Mbinga-Ruvuma
Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) itaendelea kuwatumikia wananchi wa Mbinga kwa kuhakikisha inasogeza karibu huduma muhimu za kijamii na kiuchumi, ikiwemo kuboresha miundombinu ya barabara vijijini na mijini, kuimarisha sekta ya afya kwa kujenga na kuboresha vituo vya kutolea huduma, pamoja na kuongeza fursa za elimu kwa watoto wa familia zote. Alisema Dkt Samia Suluhu Hassan
Vile vile Viongozi wamesisitiza kuwa serikali itaendelea kushirikiana na wananchi katika kutekeleza miradi ya maendeleo, kusikiliza kero zao kwa uwazi, na kuhakikisha kuwa rasilimali za taifa zinawanufaisha wote kwa usawa ili kukuza ustawi na kupunguza changamoto za kiuchumi zinazowakabili wakazi wa wilaya ya Mbinga na mkoa kwa ujumla.
#OktobaTunatiki
#FyuchaBilaStresi
#KaziNaUtuTunasongaMbele
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.