ZIARA YA KAMPENI, RUVUMA
21 Sep, 2025
16 Machapisho
🗓️ 21 Septemba 2025
📍 Ruvuma
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania kupitia tiketi ya CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo ataendelea na kampeni zake kuinadi ilani ya CCM Mkoani Ruvuma.
Zamu ya Ruvuma kupata ujumbe wenye taswira ya matumaini na dira, inayobainisha safari ya maendeleo na fursa mpya za kijamii na kiuchumi zinaelekezwa katika mkoa huu ambao umekuwa muhimu hata wakati wa kudai uhuru wa Tanzania .
#OktobaTunatiki
#FyuchaBilaStresi
#KaziNaUtuTunasongaMbele
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.