KIJANI ILANI CHATBOT- ILANI KIGANJANI KWAKO
07 Oct, 2025
61 Machapisho
Ungana na wajanja wanaotumia Kijani Ilani Chatbot, Njia rahisi na ya kisasa ya kufahamu Ilani ya CCM 2025–2030, mafanikio ya 2020–2025, na taarifa za maendeleo kwa kila sekta na kila mkoa hasa kwa Vijana.
Faida zake:- Haina haja ya kutumia internet, Inafanya kazi haraka na kwa usalama, Rahisi kutumia popote, muda wowote
👉 Tembelea sasa: https://kijanichatbot.or.tz/
Unachopaswa kufanya: Fungua link, zima data, kisha enjoy ukipata taarifa zote za Ilani kwa urahisi bila internet, bila stress
Usitumie peke yako washirikishe marafiki zako wajanja, tujifunze wote kuhusu maendeleo ya Taifa letu.
#KazinaUtuTunasongaMbele
#TokaNitokeTukatiki
#TunazimaZoteTunawashaKijani
Habari Zinazohusiana
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
08 Feb, 2026
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko