BULUGU ATOA ELIMU JINSI YA KUPIGA KURA.
09 Oct, 2025
57 Machapisho
ðŸ—“ï¸ Tarehe 08 Oktoba 2025
ðŸ“Mufindi-Iringa
Katibu Msaidizi Mkuu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa Ndugu Bulugu Magege, ameendelea na ziara ya kuhamasisha wananchi wa Mufindi hususani vijana wa Jimbo la Mafinga Mjini, kujitokeza kwa wingi Tarehe 29 Oktoba 2025 kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na wagombea wote wa CCM.
Akiwa katika Mitaa, Masoko na Vijiweni Magege amesisitiza vijana kuwa mstari wa mbele kulinda na kutetea kura za CCM, huku akitoa elimu ya namna sahihi ya kupiga kura kwa mifano, akibainisha umuhimu wa kuhakikisha tiki inamweka mgombea wa CCM pekee, Ameeleza kuwa serikali ya Dkt. Samia Imeleta Mageuzi Makubwa katika elimu, afya, barabara na umeme, jambo linaloleta matumaini mapya kwa Watanzania.
#OktobaTunatiki ✅
#KazinaUtuTunasongaMbele
#TokaNitokeTukatiki ✅
Habari Zinazohusiana
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
08 Feb, 2026
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo