BULUGU ATOA ELIMU JINSI YA KUPIGA KURA.
09 Oct, 2025
15 Machapisho
🗓️ Tarehe 08 Oktoba 2025
📍Mufindi-Iringa
Katibu Msaidizi Mkuu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa Ndugu Bulugu Magege, ameendelea na ziara ya kuhamasisha wananchi wa Mufindi hususani vijana wa Jimbo la Mafinga Mjini, kujitokeza kwa wingi Tarehe 29 Oktoba 2025 kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na wagombea wote wa CCM.
Akiwa katika Mitaa, Masoko na Vijiweni Magege amesisitiza vijana kuwa mstari wa mbele kulinda na kutetea kura za CCM, huku akitoa elimu ya namna sahihi ya kupiga kura kwa mifano, akibainisha umuhimu wa kuhakikisha tiki inamweka mgombea wa CCM pekee, Ameeleza kuwa serikali ya Dkt. Samia Imeleta Mageuzi Makubwa katika elimu, afya, barabara na umeme, jambo linaloleta matumaini mapya kwa Watanzania.
#OktobaTunatiki âś…
#KazinaUtuTunasongaMbele
#TokaNitokeTukatiki âś…
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.