RAHA YA KIJANI ILANI CHATBOT NI UHAKIKA WA MAJIBU KUHUSU ILANI YA CCM 2025 - 2030.
09 Oct, 2025
79 Machapisho
Ni rahisi kupata majibu sahihi na ya haraka kuhusu Ilani ya CCM kupitia Kijani Ilani Chatbot
Haitumii data wala internet mara tu unapobofya link 👉 https://kijanichatbot.or.tz/
, zima data yako, kisha enjoy mazungumzo ya kijani yenye maarifa.
Pata ufafanuzi, majibu ya papo kwa papo, uchambuzi na maelezo kamili kuhusu Ilani ya CCM moja kwa moja kupitia chatbot yako rafiki.
Jaribu sasa na washirikishe wenzako maana kila kijana ana haki ya kuelewa Ilani vizuri.
#TokaNitokeTukatiki
#KazinaUtuTunasongaMbele
#TunazimaZoteTunawashaKijani
Habari Zinazohusiana
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA AAGIZA UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU, UJENZI WA KITUO CHA WATOTO NA ELIMU YA ZIMAMOTO SOKO JIPYA LA KARIAKOO
08 Feb, 2026
Dar es Salaam 08 Februari 2026 Katika kulinda uwekezaji wa umma na kuhakikisha thamani ya fedha za wananchi inalindwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutunza na kusimamia miundombinu ya Soko
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo