TUMETEKELEZA NDOTO YA MWL. NYERERE SERIKALI KUHAMIA DODOMA
10 Oct, 2025
20 Machapisho
🗓 10 Oktoba 2025
📍 Butiama- Mara
Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake ya kampeni Mkoani Mara asubuh ya leo.
Amezungumza na wananchi wa jimbo la Butiama ambapo amewaeleza kuwa Serikali ya Chama cha Mama Mapinduzi imeendelea kuziishi ndoto za Hayati Baba wetu wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere ambapo moja ya ndoto ilikuwa ni Serikali kuhamia Dodoma na tayari Mihili mitatu ishahamia Dodoma ikiwemo Bunge, Serikali na Mahakama
#OktobaTunatiki
#FyuchaBilaStresi
#TokaNitokeTukatiki✅
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.