KIWANJA KIKUBWA CHA MICHEZO KUJENGWA GEITA
14 Oct, 2025
14 Machapisho
πGeita Mjini - Geita
ποΈ 13 Oktoba, 2025
Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye ni Mgombea wa urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi kwa awamu ya 2025-2030 ameahidi ujenzi wa kiwanja kikubwa cha Michezo Mkoani Geita ili kukuza Sekta ya Michezo Nchini.
Pia, Serikali ya CCM Chini ya Dkt Samia Suluhu Hassan amesema kwamba Michezo tutaikuza nchini na tutakuwa tunawapokea na kuwakaribisha wageni mbalimbali Nchini wanaokuja kucheza na timu zetu za Tanzania, hivyo basi tutazidi kuboresha na kujenga viwanja vizuri vyenye hadhi ya kimataifa ndani ya Taifa letu.
#oktobatunatiki β
β
β
#tokanitoketukatiki
#kazinaututunasongambele
#fyuchabilastresi
Habari Zinazohusiana
KURA YANGU SAUTI YANGU
26 Oct, 2025
Ni haki yangu kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
KAWAIDA: "WATAKE WASITAKE CCM ITASHINDA KWA KISHINDO KIKUBWA TAREHE 29"
26 Oct, 2025
Mwenyekiti wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa komredi Mohammed Ali Kawaida akizungumza na wananchi walio jitokeza kwa wingi katika Ufungaji wa Kampeni Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
MARTINE AHAMASISHA WAPIGA KURA KUBEBA KADI ZAO OKTOBA 29 NA KUTIKI KWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
26 Oct, 2025
Dar es Salaam, Oktoba 25, 2025 Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Vyuo na Vyuo Vikuu Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ndg. Emanuel Martine, amewahamasisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wateja na wadau mbalimbali wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025, wakichagua kwa kishindo wagombea wote wa CCM.