UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

RAHA YA KIJANI ILANI CHATBOT NI UHAKIKA WA MAJIBU KUHUSU ILANI YA CCM 2025 - 2030.
09 Oct, 2025
00:00

RAHA YA KIJANI ILANI CHATBOT NI UHAKIKA WA MAJIBU KUHUSU ILANI YA CCM 2025 - 2030.

Ni rahisi kupata majibu sahihi na ya haraka kuhusu Ilani ya CCM kupitia Kijani Ilani Chatbot Haitumii data wala internet mara tu unapobofya link 👉 https://kijanichatbot.or.tz/ , zima data yako, kisha enjoy mazungumzo ya kijani yenye Maarifa.

Soma Zaidi
SERIKALI YA CCM KUTOA HUDUMA YA PEMBEJEO NA BEI ZA PAMBA BURE.
09 Oct, 2025
00:00

SERIKALI YA CCM KUTOA HUDUMA YA PEMBEJEO NA BEI ZA PAMBA BURE.

Leo akiwa Jijini Mwanza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Samia Suluhu Hassan Ametangaza kwa msisitizo kuwa Serikali ya CCM Itaendelea kutoa huduma ya pembejeo na mbegu za pamba bure kwa wakulima Ikiwa ni sehemu ya mpango wa kuinua sekta ya kilimo na kuongeza kipato cha wananchi.

Soma Zaidi
SERIKALI YA CCM IMEPANDISHA MAPATO YA WAVUVI MARA.
09 Oct, 2025
00:00

SERIKALI YA CCM IMEPANDISHA MAPATO YA WAVUVI MARA.

Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt Samia Suluhu Hassan baada ya kuwasili Mkoani Mara kwa ajili ya ziara yake ya Kampen.

Soma Zaidi
VIZIMBA NA MABWAWA KUWANUFAISHA VIJANA WA MARA.
09 Oct, 2025
00:00

VIZIMBA NA MABWAWA KUWANUFAISHA VIJANA WA MARA.

Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan.

Soma Zaidi
KIJANI ILANI CHATBOT- ILANI KIGANJANI KWAKO
07 Oct, 2025
00:00

KIJANI ILANI CHATBOT- ILANI KIGANJANI KWAKO

Ungana na wajanja wanaotumia Kijani Ilani Chatbot, Njia rahisi na ya kisasa ya kufahamu Ilani ya CCM 2025–2030, mafanikio ya 2020–2025, na taarifa za maendeleo kwa kila sekta na kila mkoa hasa kwa Vijana

Soma Zaidi
DKT.NCHIMBI  AENDELEA KUSAKA KURA ZA USHINDI WA KISHINDO ZA DKT.SAMIA JIJINI DAR
30 Sep, 2025
00:00

DKT.NCHIMBI AENDELEA KUSAKA KURA ZA USHINDI WA KISHINDO ZA DKT.SAMIA JIJINI DAR

Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia Wananchi kwenye mkutano wake wa hadhara wa kampeni,uliofanyika leo Septemba 30,2025 katika uwanja wa Kampala-Gongolamboto,Jimbo la Ukonga wilaya ya ilala,jijini Dar es Salaam.

Soma Zaidi