UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

UVCCM KONDODA YAADHIMISHA KIKAO CHA KAWAIDA CHA BARAZA LA VIJANA
31 Jan, 2026
00:00

UVCCM KONDODA YAADHIMISHA KIKAO CHA KAWAIDA CHA BARAZA LA VIJANA

KONDOA, TANZANIA – 31 Januari 2026 Leo, Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Kondoa, Mwalimu Said Ndwata (Bei Chee), ameongoza Kikao cha Kawaida cha Baraza la Umoja wa Vijana wa CCM Wilaya, kilichokuwa na ajenda tatu muhimu kwa maendeleo ya vijana na Jumuiya ya UVCCM wilayani hapa.

Soma Zaidi
UVCCM MBEYA MJINI YAADHIMISHA MIAKA 49 YA CCM KWA SHUGHULI ZA KIMAENDELE MBEYA MJINI
31 Jan, 2026
00:00

UVCCM MBEYA MJINI YAADHIMISHA MIAKA 49 YA CCM KWA SHUGHULI ZA KIMAENDELE MBEYA MJINI

Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Mbeya Mjini ameshiriki leo katika shughuli za kimaendeleo katika Kata ya Nzovwe, pamoja na Diwani wa kata hiyo. Shughuli zilizofanyika ni pamoja na kukarabati barabara na kujaza vifusi katika maeneo korofi, hatua zilizolenga kuboresha miundombinu ya wananchi na kuendeleza huduma za kijamii.

Soma Zaidi
KATIBU MKUU WA UVCCM ASHIRIKI DUA MAALUM YA KUMUOMBEA RAIS DKT. SAMIA
26 Jan, 2026
00:00

KATIBU MKUU WA UVCCM ASHIRIKI DUA MAALUM YA KUMUOMBEA RAIS DKT. SAMIA

Katibu Mkuu wa UVCCM na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Ndugu Halid Mwinyi, ameshiriki katika dua maalum ya kumuombea kheri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakati wa kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa iliyoandaliwa na Afisi Kuu ya UVCCM Zanzibar.

Soma Zaidi
DKT. SAMIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM TAIFA, ZANZIBAR
25 Jan, 2026
00:00

DKT. SAMIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM TAIFA, ZANZIBAR

Zanzibar | Januari 25, 2026 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika Zanzibar tarehe 25 Januari 2026.

Soma Zaidi
DIWANI LUTFIA AONGOZA WANANCHI KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA
25 Jan, 2026
00:00

DIWANI LUTFIA AONGOZA WANANCHI KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa kutoka Mkoa wa Mjini Unguja, ambaye pia ni Diwani wa Wadi ya Kwahani, Ndugu Lutfia Juma Idd, ameongoza wakazi wa wadi hiyo kushiriki zoezi la usafi wa mazingira lililofanyika katika maeneo mbalimbali ya wadi hiyo.

Soma Zaidi
SERIKALI YATAJA MALENGO YA SERA YA MAENDELEO YA VIJANA (2007 – 2024)
24 Jan, 2026
00:00

SERIKALI YATAJA MALENGO YA SERA YA MAENDELEO YA VIJANA (2007 – 2024)

Dodoma. Serikali kupitia Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana imeendelea kuweka msisitizo katika uwekezaji wa kimkakati kwa vijana, kwa kueleza maeneo muhimu ya Sera ya Maendeleo ya Vijana ya Mwaka 2007, Toleo la Mwaka 2024, yenye lengo la kumwezesha kijana kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya taifa.

Soma Zaidi