UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

RAIS DKT. SAMIA: WATANZANIA TUENDELEE KULIOMBEA TAIFA LIDUMU KATIKA AMANI
16 Nov, 2025
00:00

RAIS DKT. SAMIA: WATANZANIA TUENDELEE KULIOMBEA TAIFA LIDUMU KATIKA AMANI

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendelea kuwasisitiza Watanzania waendelee kuliombea Taifa ili amani, upendo, ustahimilivu na mshikamano viendelee kudumu nchini.

Soma Zaidi
Tanzania kunufaika na dolla million 20 kwa utekelezaji wa miradi ya kukabiliana na mbadiliko ya Tabia ya nchi
15 Nov, 2025
00:00

Tanzania kunufaika na dolla million 20 kwa utekelezaji wa miradi ya kukabiliana na mbadiliko ya Tabia ya nchi

Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazotarajia kunufaika na fedha kiasi cha hadi dola milioni 20 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kupitia Mfuko wa Kukabiliana na Hasara na Uharibifu.

Soma Zaidi
SERIKALI CHINI YA RAIS DKT.SAMIA KUANZISHA WIZARA KAMILI YA VIJANA
14 Nov, 2025
00:00

SERIKALI CHINI YA RAIS DKT.SAMIA KUANZISHA WIZARA KAMILI YA VIJANA

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake anayoiongoza ya awamu ya sita imedhamiria kuanzisha Wizara kamili itakayoshughulikia masuala yote yanayohusiana na Vijana.

Soma Zaidi
HOTUBA YA KIHISTORIA YA DKT SAMIA KUFUNGUA BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
13 Nov, 2025
00:00

HOTUBA YA KIHISTORIA YA DKT SAMIA KUFUNGUA BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Ni tukio lenye uzito wa kipekee katika historia ya Taifa letu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufungua rasmi Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kesho, tarehe 14 Novemba 2025, kuanzia saa 9 alasiri, bungeni Dodoma.

Soma Zaidi
HOTUBA FUPI YA WAZIRI MKUU MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
13 Nov, 2025
00:00

HOTUBA FUPI YA WAZIRI MKUU MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Waziri Mkuu mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba baada ya kupitishwa kwa kishindo na wabunge alipata wasaa wa kuhutubia kwa uchache.

Soma Zaidi
HONGERA DKT. MWIGULU NCHEMBA
13 Nov, 2025
00:00

HONGERA DKT. MWIGULU NCHEMBA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameteua jina la Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi

Soma Zaidi