UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

SAMIA EXTENDED PROGRAM: WANAFUNZI KUTAFUTIWA VYUO VYA UMAHIRI DUNIANI KWA UFADHILI WA DKT. SAMIA
29 Sep, 2025
00:00

SAMIA EXTENDED PROGRAM: WANAFUNZI KUTAFUTIWA VYUO VYA UMAHIRI DUNIANI KWA UFADHILI WA DKT. SAMIA

Katika mwendelezo wa ziara zake za kukutana na makundi mbalimbali ya vijana na wanavyuo, Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa Vyuo na Vyuo Vikuu UVCCM Taifa Ndg. Emanuel Martine leo amekutana na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Loleza, Mkoa wa Mbeya.

Soma Zaidi
NYONGEZA YA MSHAHARA KWA WATUMISHI WA UMMA, CHACHU YA UPENDO WA WATUMISHI KWA DKT. SAMIA
28 Sep, 2025
00:00

NYONGEZA YA MSHAHARA KWA WATUMISHI WA UMMA, CHACHU YA UPENDO WA WATUMISHI KWA DKT. SAMIA

Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa, Vyuo na Vyuo Vikuu UVCCM Taifa, Ndg. Emanuel Martine, leo tarehe 28/09/2025 amekutana na walimu makada na wazalendo wa Mkoa wa Iringa akiwa ameambatana na Katibu Msaidizi Mkuu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa, Ndg. Bulugu Magege.

Soma Zaidi
𝗙𝗜𝗥𝗦𝗧 𝗧𝗜𝗠𝗘 𝗩𝗢𝗧𝗘𝗥𝗦 𝗞𝗔𝗧𝗔𝗩𝗜 𝗪𝗔𝗣𝗢 𝗧𝗔𝗬𝗔𝗥𝗜 𝗞𝗨𝗧𝗜𝗞𝗜 𝗢𝗞𝗧𝗢𝗕𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔
28 Sep, 2025
00:00

𝗙𝗜𝗥𝗦𝗧 𝗧𝗜𝗠𝗘 𝗩𝗢𝗧𝗘𝗥𝗦 𝗞𝗔𝗧𝗔𝗩𝗜 𝗪𝗔𝗣𝗢 𝗧𝗔𝗬𝗔𝗥𝗜 𝗞𝗨𝗧𝗜𝗞𝗜 𝗢𝗞𝗧𝗢𝗕𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔

Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Taifa na pia Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM kutoka Mkoa wa Katavi, Eng. Debora Joseph Tluway, amekutana na vijana wapiga kura wapya walioshiriki kongamano la mbio za Mwenge lililofanyika katika Halmashauri ya Mpimbwe, Mkoa wa Katavi.

Soma Zaidi
MWAKITINYA, MWANRI MGUU KWA MGUU MITAANI KUZISAKA KURA ZA DKT. SAMIA
28 Sep, 2025
00:00

MWAKITINYA, MWANRI MGUU KWA MGUU MITAANI KUZISAKA KURA ZA DKT. SAMIA

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Tanzania Bara, Ndg. Mussa Peter Mwakitinya , leo 28 Septemba 2025 ameungana na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa mstaafu wa Tabora, Ndg. Aggrey Mwanri, katika harakati za kusaka kura za kishindo kwa ajili ya Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Soma Zaidi
Rais Dkt. Mwinyi Apokea Pole Kufuatia Kifo cha Kaka Yake
26 Sep, 2025
00:00

Rais Dkt. Mwinyi Apokea Pole Kufuatia Kifo cha Kaka Yake

Zanzibar, 26 Septemba 2025 – Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amepokea salamu za pole kufuatia kifo cha kaka yake mpendwa, Marehemu Abbas Ali Mwinyi, kilichotokea jana tarehe 25 Septemba 2025.

Soma Zaidi
SAMIA SCHOLARSHIP NI UFADHILI WA BURE KABISA SIO MKOPO
24 Sep, 2025
00:00

SAMIA SCHOLARSHIP NI UFADHILI WA BURE KABISA SIO MKOPO

Mkuu wa idara ya uhusiano wa Kimataifa vyuo na vyuo Vikuu UVCCM Taifa Ndg Emanuel Martine* leo tarehe 23.09.2025 akiambatana na Mwenyekiti wa UVCCM vyuo na vyuo Vikuu mkoa wa pwani Ndg Mwanaidi Khamis Ramadhani amefanya mazungumzo na waalimu na wanafunzi wa shule ya Sekondari kibaha ambapo alipita kuwapa salamu za upendo za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM Dkt Samia Suluhu Hassan.

Soma Zaidi