SERIKALI KUJENGA STENDI NA SOKO LA KISASA NKASI
Mgomba Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake itajenga stand na soko la kisasa Nkasi ili kuboresha mazingira ya biashara na kuongeza mapato ya wafanyabiashara.
Soma Zaidi
UJENZI WA MINARA 63 KURAHISISHA HUDUMA YA MAWASILIANO KATAVI
Serikali ya Chama Cha Mapinduzi kwa awamu iliyopita imefanya ukamilishaji wa Ujenzi wa Minada 63 Na wapo kwenye mchakato wa kumalizia Mnara mmoja Na kufikisha Ujenzi wa Minara 64 kwa Lengo la kurahisisha Mawasiliano ndani ya Mkoa wa Katavi.
Soma Zaidi
MRADI WA ZIWA TANGANYIKA KUTATUA KERO YA MAJI RUKWA
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa Serikali imeweka mpango kabambe wa kutatua changamoto ya maji mkoani Rukwa kupitia Mradi Mkubwa wa Maji kutoka Ziwa Tanganyika, mradi utakaonufaisha maelfu ya wananchi wa Sumbawanga, Nkasi na Kalambo.
Soma Zaidi
29 OKTOBA TUNATIKI AFYA YA MAMA NA MTOTO
Ni wakati wa kizazi kipya cha vijana wa CCM kusimama imara kwa mustakabali wa Taifa lenye afya bora kwa wote, Tukithibitisha kwa vitendo dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuboresha huduma za afya ya mama na mtoto.
Soma Zaidi
Chagueni Viongozi wanaojali amani na maendeleo endelevu ya taifa letu
Uongozi wa Seneti wa Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Magharibi, ukiongozwa na Mwenyekiti wake Ndg. Ikram Soraga, umeshiriki mafunzo ya elimu kwa mpiga kura katika Taasisi ya Sayansi na Teknolojia Karume (KIST), yakilenga kuwaandaa wanavyuo kushiriki uchaguzi mkuu kwa amani ifikapo tarehe 29 Oktoba 2025.
Soma Zaidi
FARIS BURUHANI AHAIMIZA VIJANA WA KAGERA KUSHIRIKI UCHAGUZI NA KUMCHAGUA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, ameeleza kuwa serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeleta mafanikio makubwa kwa vijana, ikiwemo kuinua sekta ya kilimo, maendeleo ya elimu, fursa za ajira na uongozi, pamoja na huduma bora za afya.
Soma Zaidi