UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

KATIBU UVCCM (W) SONGEA MJINI AFANYA ZIARA YA KITENDAJI KATA MBILI
24 Mar, 2026
00:00

KATIBU UVCCM (W) SONGEA MJINI AFANYA ZIARA YA KITENDAJI KATA MBILI

Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Wilaya ya Songea Mjini, Ndugu David J. Mlonga, ameendelea na ziara ya kitendaji katika Kata mbili, M/Mshindo na Mjimwema, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha uhai wa Jumuiya na kuhamasisha ushiriki wa vijana.

Soma Zaidi
KATIBU UVCCM WILAYA YA KONDOA AFANYA ZIARA KATIKA KATA TATU KUIMARISHA JUMLA YA SHUGHULI ZA VIJANA
24 Mar, 2026
00:00

KATIBU UVCCM WILAYA YA KONDOA AFANYA ZIARA KATIKA KATA TATU KUIMARISHA JUMLA YA SHUGHULI ZA VIJANA

Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Wilaya ya Kondoa ameendelea na ziara ya kitendaji katika kata za Bolisa, Kondoa Mjini na Kilimani, kwa lengo la kuimarisha uhai wa Jumuiya na kusikiliza changamoto zinazowakabili vijana katika maeneo hayo.

Soma Zaidi
ZIARA YA KATIBU UVCCM IRINGA MJINI YAIMARISHA MSHIKAMANO KATA YA ISAKALILO
24 Mar, 2026
00:00

ZIARA YA KATIBU UVCCM IRINGA MJINI YAIMARISHA MSHIKAMANO KATA YA ISAKALILO

Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Iringa Mjini, Ndugu Bagaya, leo Machi 23, 2026, amefanya ziara ya kiutendaji katika Kata ya Isakalilo, akikutana na vijana wa eneo hilo kwa lengo la kuimarisha mshikamano,

Soma Zaidi
KATIBU UVCCM (W) MBARALI AENDELEA NA ZIARA YA KITENDAJI KATA YA UBARUKU
23 Mar, 2026
00:00

KATIBU UVCCM (W) MBARALI AENDELEA NA ZIARA YA KITENDAJI KATA YA UBARUKU

Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Wilaya ya Mbarali, Cde. Juma Shabani Hatibu, ameendelea na ziara ya kitendaji katika kata mbalimbali, ambapo leo tarehe 23/03/2026 ametembelea Kata ya Ubaruku kwa lengo la kuimarisha shughuli za Jumuiya na kusikiliza changamoto za vijana.

Soma Zaidi
KATIBU UVCCM  SUMBAWANGA MJINI AFANYA ZIARA YA KIUTENDAJI KUIMARISHA UMOJA WA VIJANA
23 Mar, 2026
00:00

KATIBU UVCCM SUMBAWANGA MJINI AFANYA ZIARA YA KIUTENDAJI KUIMARISHA UMOJA WA VIJANA

Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Sumbawanga mjini amefanya ziara ya kiutendaji katika kata na matawi mbalimbali kwa lengo la kuimarisha uhai wa jumuiya hiyo pamoja na kuongeza ufanisi wa shughuli za vijana ndani ya chama.

Soma Zaidi
DUA NA IFTARI YA PAMOJA ILIYOANDALIWA NA UVCCM KIGAMBONI YAFANA
21 Mar, 2026
00:00

DUA NA IFTARI YA PAMOJA ILIYOANDALIWA NA UVCCM KIGAMBONI YAFANA

Kigamboni, Dar es Salaam – Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Kigamboni umefanikiwa kuandaa hafla ya Dua na Iftari ya pamoja iliyowakutanisha vijana, viongozi wa chama na serikali, pamoja na wadau mbalimbali wa maendeleo katika mazingira ya mshikamano, ibada na mafunzo ya kijamii.

Soma Zaidi