UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

Arusha: Mwenyekiti UVCCM Mkoa Simon Maximilian aongoza Maadhimisho ya Miaka 49 ya CCM
31 Jan, 2026
00:00

Arusha: Mwenyekiti UVCCM Mkoa Simon Maximilian aongoza Maadhimisho ya Miaka 49 ya CCM

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Arusha, Simon Maximilian, awaongoza vijana wa umoja huo katika maadhimisho ya kuelekea miaka 49 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakionesha uzalendo kwa kushiriki shughuli mbalimbali za kijamii na za chama.

Soma Zaidi
UVCCM Ngome waadhimisha Kuzaliwa CCM kwa Vitendo, wasafisha Soko la Ngome Iringa
31 Jan, 2026
00:00

UVCCM Ngome waadhimisha Kuzaliwa CCM kwa Vitendo, wasafisha Soko la Ngome Iringa

Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Ngome, Kata ya Kihesa, Wilaya ya Iringa Mjini mkoani Iringa, wamefanya shughuli ya usafi wa mazingira katika Soko la Ngome kama sehemu ya maandalizi ya maadhimisho ya siku ya kuzaliwa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Soma Zaidi
UVCCM Mufindi yaadhimisha Miaka 49 ya CCM kwa Baraza maalum, yasifu Mchango wa Vijana katika kutafuta ushindi kwa CCM
31 Jan, 2026
00:00

UVCCM Mufindi yaadhimisha Miaka 49 ya CCM kwa Baraza maalum, yasifu Mchango wa Vijana katika kutafuta ushindi kwa CCM

Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 49 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Wilaya ya Mufindi umeanza maadhimisho hayo kwa kufanya baraza maalum lenye lengo la kuwapongeza na kuwashukuru vijana wa chama kwa mchango wao mkubwa katika kazi ya kutafuta kura wakati wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba mwaka jana.

Soma Zaidi
UVCCM KONDODA YAADHIMISHA KIKAO CHA KAWAIDA CHA BARAZA LA VIJANA
31 Jan, 2026
00:00

UVCCM KONDODA YAADHIMISHA KIKAO CHA KAWAIDA CHA BARAZA LA VIJANA

KONDOA, TANZANIA – 31 Januari 2026 Leo, Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Kondoa, Mwalimu Said Ndwata (Bei Chee), ameongoza Kikao cha Kawaida cha Baraza la Umoja wa Vijana wa CCM Wilaya, kilichokuwa na ajenda tatu muhimu kwa maendeleo ya vijana na Jumuiya ya UVCCM wilayani hapa.

Soma Zaidi
KATIBU MKUU WA UVCCM ASHIRIKI DUA MAALUM YA KUMUOMBEA RAIS DKT. SAMIA
26 Jan, 2026
00:00

KATIBU MKUU WA UVCCM ASHIRIKI DUA MAALUM YA KUMUOMBEA RAIS DKT. SAMIA

Katibu Mkuu wa UVCCM na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Ndugu Halid Mwinyi, ameshiriki katika dua maalum ya kumuombea kheri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakati wa kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa iliyoandaliwa na Afisi Kuu ya UVCCM Zanzibar.

Soma Zaidi
DKT. SAMIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM TAIFA, ZANZIBAR
25 Jan, 2026
00:00

DKT. SAMIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM TAIFA, ZANZIBAR

Zanzibar | Januari 25, 2026 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika Zanzibar tarehe 25 Januari 2026.

Soma Zaidi