ZIARA YA KITENDAJI YANZA KATA ZA MABWEPANDE NA BUNJU
Tarehe 24 Machi, 2026, nimeanza ziara ya kikazi katika Kata za Mabwepande na Bunju kwa lengo la kukagua uhai wa Jumuiya, kufuatilia shughuli za UVCCM pamoja na kuzungumza na viongozi na wanachama katika ngazi mbalimbali.
Soma Zaidi
KATIBU UVCCM (W) SONGEA MJINI AENDELEA NA ZIARA YA KITENDAJI KATA ZA SHULE YA TANGA NA MSHANGANO
Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Wilaya ya Songea Mjini, Ndugu David J. Mlonga, ameendelea na ziara ya kitendaji katika Kata za Shule ya Tanga na Mshangano, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha uhai wa Jumuiya na kuongeza ushiriki wa vijana katika shughuli zake.
Soma Zaidi
KATIBU UVCCM SONGEA VIJIJINI AFANYA ZIARA YA KIUTENDAJI KUIMARISHA UMOJA WA VIJANA
Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Songea Vijijini ameanza ziara ya kiutendaji katika kata na matawi mbalimbali, akilenga kuimarisha uhai wa Jumuiya na kuongeza ufanisi wa shughuli za vijana ndani ya chama.
Soma Zaidi
UVCCM WILAYA YA CHAMWINO YAENDELEA NA ZIARA KATA YA CHILONWA
Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Wilaya ya Chamwino umeendelea na ziara ya kiutendaji katika Kata ya Chilonwa leo tarehe 24/03/2026, ambapo Katibu wa Vijana amekutana na vijana wa eneo hilo kwa lengo la kusikiliza changamoto zao na kuimarisha shughuli za Jumuiya.
Soma Zaidi
MKALIPA ‘ATIKISA’ KWA OPERESHENI SAMIA KATA ZA MKALAMO NA MKWAJA
Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Pangani, Ndugu Nasri Mkalipa, ameanza rasmi ziara ya siku tisa ya kiutendaji katika kata 14 za wilaya hiyo, akilenga kukutana na makundi mbalimbali ya vijana na kuimarisha uhai wa Jumuiya.
Soma Zaidi
UVCCM BABATI VIJIJINI YAENDELEA NA ZIARA KATA ZA QASH NA GALAPO
Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Babati Vijijini, chini ya Katibu wa Vijana Ndugu George Sanka, imeendelea na ziara ya kiutendaji katika kata za Qash na Galapo leo tarehe 24/03/2026, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha uhai wa Jumuiya na kuongeza ushiriki wa vijana.
Soma Zaidi