UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

KATIBU MKUU UVCCM, HALID MWINYI AKAGUA MAENDELEO YA CHUO CHA VIJANA IHEMI – IRINGA
04 Mar, 2026
00:00

KATIBU MKUU UVCCM, HALID MWINYI AKAGUA MAENDELEO YA CHUO CHA VIJANA IHEMI – IRINGA

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Ndugu Halid Mwinyi, ametembelea na kukagua maendeleo ya Chuo cha UVCCM Ihemi kilichopo mkoani Iringa.

Soma Zaidi
KATIBU MKUU WA UVCCM, NDUGU HALID MWINYI, APOKELEWA MKOANI ARUSHA
13 Feb, 2026
00:00

KATIBU MKUU WA UVCCM, NDUGU HALID MWINYI, APOKELEWA MKOANI ARUSHA

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Ndugu Halid Mwinyi, leo tarehe 13 Februari 2026, amepokelewa katika Ofisi za UVCCM Wilaya ya Arusha Mjini, mkoani Arusha.

Soma Zaidi
UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SENET ZA MIKOA – VYUO VYA KATI NA VYUO VIKUU
13 Feb, 2026
00:00

UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SENET ZA MIKOA – VYUO VYA KATI NA VYUO VIKUU

Tunapenda kuwajulisha wanachama wote kuwa Uchaguzi wa kupata viongozi wa Senet za mikoa katika Vyuo vya Kati na Vyuo Vikuu utafanyika kesho, Jumamosi, Februari 14, 2026.

Soma Zaidi
DKT. MIGIRO AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA NAMIBIA, WAJADILI KUIMARISHA URAFIKI WA KIDUGU
12 Feb, 2026
00:00

DKT. MIGIRO AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA NAMIBIA, WAJADILI KUIMARISHA URAFIKI WA KIDUGU

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, leo Alhamisi, Februari 12, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Namibia nchini Tanzania, Mheshimiwa Gabriel Pandureni Sinimbo.

Soma Zaidi
KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR
09 Feb, 2026
00:00

KATIBU MKUU WA UVCCM KUONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI YA BARAZA KUU LA UVCCM, ZANZIBAR

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Halid Mwinyi (MNEC), anatarajiwa kuongoza kikao cha Sekretarieti ya Baraza Kuu la UVCCM kitakachofanyika Jumanne, tarehe 10 Februari 2026, katika Chuo cha Umoja wa Vijana Tunguu, Zanzibar.

Soma Zaidi
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA
08 Feb, 2026
00:00

RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SOKO JIPYA LA KARIAKOO: AFUNGUA UKURASA MPYA WA TUMAINI LA KIUCHUMI, AAGIZA HAKI, UWAZI NA USALAMA KWA WAFANYABIASHARA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amezindua rasmi Jengo Jipya la Soko la Kariakoo

Soma Zaidi