TABASAMU LA MAENDELEO, SAFARI YA KUTIKI OKTOBA 29
Ni yeye akiwa amevalia miwani yake ya njano na tabasamu la matumaini, kijana huyu anaonesha ari na uzalendo kuelekea uchaguzi wa Oktoba 29. Bila kusahau Kichinjio chake, ameshikilia mfano wa karatasi ya kura, ishara ya dhamira yake ya kuchagua maendeleo na umoja.
Soma Zaidi
SERIKALI KUFANYA MAREKEBISHO MAKUBWA YA RELI YA KATI
Ilala -Dar es Salaam,Serikali ya Chama Cha Mapinduzi Chini ya Mgombea wake wa Urais Dkt Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa watafanya Marekebisho makubwa ya Reli ya Kati, Reli ya TAZARA ili ifanye kazi vizuri ili kuweza kuchochea Maendeleo mazuri ya Taifa Letu.
Soma Zaidi
DKT SAMIA TUNA KAMPUNI ZAIDI YA NNE (4) ZA USAFIRI MWENDOKASI DAR
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa tiketi ya CCM *Dkt. Samia Suluhu Hassan,* ameonyesha dhamira thabiti ya kuboresha huduma za usafiri jijini Dar es Salaam kupitia mfumo wa Usafiri wa Mabasi ya Mwendokasi (UDART). Hivi karibuni, Serikali inaendelea kufanya mazungumzo na kampuni nne kuendesha huduma za mabasi katika njia zinazofikia vituo vya mwisho vya mwendokasi
Soma Zaidi
SERIKALI KUTOA FURSA KWA SEKTA BINAFSI HUDUMA ZA MWENDO KASI DSM
Ilala Dar es Salaam,amesema hayo Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan, akibainisha kuwa Serikali itaendelea kutoa fursa kwa sekta binafsi kushiriki katika uendeshaji wa huduma za mwendo kasi jijini Dar es Salaam.
Soma Zaidi
SERIKALI YA CCM KUJENGA SOKO KUBWA LA KISASA JANGWANI DSM
Ilala Dar es salaam, Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake ya kampeni Mkoani Dar es salaam Mchana wa leo.
Soma Zaidi
WAJANJA WOTE WANATIKI OKTOBA 29
Ewe Mwananchi Mwenzangu, kichinjio chako ndio tiketi iliyobeba dhamana ya maamuzi yako
Soma Zaidi