KAWAIDA: VIJANA, TUNAJUKUMU LA KULINDA AMANI, UMOJA NA MSHIKAMANO WA TAIFA LETU
Mwenyekiti wa UVCCM Ndugu Mohammed Ali Kawaida(MCC) amesisitiza wito wa mshikamano na amani miongoni mwa Watanzania, huku akibainisha mafanikio makubwa ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Soma Zaidi
MWENEZI KENANI APOKELEWA KWA KISHINDO DAR ES SALAAM
Dar es Salaam, 06 Disemba 2025 — Ukumbi wa Diamond Jubilee ulibubujikwa na shamrashamra leo baada ya maelfu ya wanachama na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi katika kikao kazi cha kwanza cha Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Kenani Laban Kihongosi (MCC) na viongozi wa chama wa mkoa huo.
Soma Zaidi
KAMBIRO: AMANI NDIO MSINGI MAENDELEO YA TAIFA LETU
Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo wa CCM Wilaya ya Kigoma Mjini, Ndugu Comrade Haruna Kambiro, leo ametoa wito kwa Watanzania kuendelea kulinda na kuthamini amani kama nguzo kuu ya ustawi na maendeleo ya Taifa.
Soma Zaidi
REUBENS E. SAGAYIKA AAPA RASMI KUWA DIWANI KATA YA KALANGALALA, UVCCM WAMTAKIA HERI
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) unatoa pongezi za dhati kwa Reubens E. Sagayika, Mjumbe wa Baraza Kuu UVCCM Taifa, kwa kula kiapo cha kuwa Diwani wa Kata ya Kalangalala, Halmashauri ya Wilaya ya Geita.
Soma Zaidi
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUM CHA KAMATI KUU YA CCM
Unguja, 29 Novemba 2025 — Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika kisiwani Unguja, Zanzibar.
Soma Zaidi
KAWAIDA AHUDHURIA KIKAO MAALUM CHA KAMATI KUU YA CCM
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) na Mjumbe wa Kamati Kuu Ndugu Mohammed Kawaida, ameungana na viongozi wakuu wa Chama cha Mapinduzi katika kikao maalum cha Kamati Kuu ya CCM, kilichoongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Soma Zaidi