MNADA WA KOROSHO RUFIJI KUANZA RASMI 30 OKTOBA
Rufiji- Pwani,Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan mchana huu
Soma Zaidi
TANZANIA INASHIKA NAFASI YA PILI UZALISHAJI MAHINDI NA TUMBAKU AFRIKA
Mkuranga - Pwani, Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye ni Mgombea wa kiti Cha urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Leo akiwa Mkoani Pwani akiendelea kuinadi ilani ya Chama Cha Mapinduzi ameeleza kuwa Tanzania tumefikia hatua nzuri ya uzalishaji wa mazao ya kilimo na Tumbaku inayosaidia katika kukuza Uchumi wa Nchi.
Soma Zaidi
SERIKALI YA CCM KUJENGA UZIO WA MAFURIKO RUFIJI
Rufiji-Pwani,Katika mkutano uliojaa hamasa na matumaini mapya kwa wananchi wa Rufiji, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza mpango kabambe wa serikali wa kujenga uzio maalum wa kuzuia mafuriko katika bonde la Rufiji.
Soma Zaidi
SERIKALI IMETOA MICHE YA MIKOROSHO BURE KWA WAKULIMA MKURANGA
Mkuranga- Pwani,Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake ya kampeni Mkoani Pwani
Soma Zaidi
SERIKALI YA CCM KUJENGA KIWANDA CHA KUSINDIKA SAMAKI IKWIRIRI
Rufiji - Pwani,Serikali ya Chama Cha Mapinduzi Chini ya Mgombea wa kiti cha urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi ya ujenzi wa kiwanda Cha kusindika Samaki Rufiji Mkoani Pwani.
Soma Zaidi
UJENZI WA MINARA 63 KURAHISISHA HUDUMA YA MAWASILIANO KATAVI
Serikali ya Chama Cha Mapinduzi kwa awamu iliyopita imefanya ukamilishaji wa Ujenzi wa Minada 63 Na wapo kwenye mchakato wa kumalizia Mnara mmoja Na kufikisha Ujenzi wa Minara 64 kwa Lengo la kurahisisha Mawasiliano ndani ya Mkoa wa Katavi.
Soma Zaidi