29 OKTOBA TUNATIKI AFYA YA MAMA NA MTOTO
Ni wakati wa kizazi kipya cha vijana wa CCM kusimama imara kwa mustakabali wa Taifa lenye afya bora kwa wote, Tukithibitisha kwa vitendo dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuboresha huduma za afya ya mama na mtoto.
Soma Zaidi
MRADI WA ZIWA TANGANYIKA KUTATUA KERO YA MAJI RUKWA
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa Serikali imeweka mpango kabambe wa kutatua changamoto ya maji mkoani Rukwa kupitia Mradi Mkubwa wa Maji kutoka Ziwa Tanganyika, mradi utakaonufaisha maelfu ya wananchi wa Sumbawanga, Nkasi na Kalambo.
Soma Zaidi
UJENZI WA MINARA 63 KURAHISISHA HUDUMA YA MAWASILIANO KATAVI
Serikali ya Chama Cha Mapinduzi kwa awamu iliyopita imefanya ukamilishaji wa Ujenzi wa Minada 63 Na wapo kwenye mchakato wa kumalizia Mnara mmoja Na kufikisha Ujenzi wa Minara 64 kwa Lengo la kurahisisha Mawasiliano ndani ya Mkoa wa Katavi.
Soma Zaidi
SERIKALI KUJENGA STENDI NA SOKO LA KISASA NKASI
Mgomba Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake itajenga stand na soko la kisasa Nkasi ili kuboresha mazingira ya biashara na kuongeza mapato ya wafanyabiashara.
Soma Zaidi
DKT. SAMIA AKIONGEA NA WAPIGA KURA WAKE MPANDA MJINI
Akiwa mjini Mpanda mkoani Katavi, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendelea kuwahamasisha wananchi kuendeleza imani kwa chama chenye historia ya kazi na matendo.
Soma Zaidi
DKT SAMIA AWAPONGEZA VIJANA WA HAMASA
Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akihitimisha Ziara yake Mkoani Kagera amefanya mkutano wa hadhara katika jimbo la Bukoba Mjini na kuwashukuru viongozi wa chama, wananchi vijana wa hamasa na makundi yote kwa ujumla kwa mapokezi na ushiriki wao mzuri wa mikutano yake ndani ya mkoa huo.
Soma Zaidi