HONGERENI SANA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU KITAIFA 2025
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) chini ya Mwenyekiti wake Ndugu Mohammed Ali Kawaida(MCC) unatoa hongera na pongezi kwa Vijana wenzetu Wakimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025 kwa kazi kubwa ya kizalendo, ushujaa, uadilifu na kujitoa kwa moyo mmoja kulitumikia taifa letu.
Soma Zaidi
VIWANDA VYA KUCHAKATA MAZIWA YA NG'OMBE KUJENGWA BUKOMBE
Katika hotuba yake yenye hamasa kubwa iliyowasha matumaini mapya kwa wananchi wa Bukombe mkoani Geita Dkt. Samia Suluhu Hassan Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ametangaza mpango kabambe wa kujenga viwanda vya kisasa vya kuchakata maziwa ya ng’ombe vitakavyobadili Taswira ya uchumi wa mifugo nchini.
Soma Zaidi
DKT. SAMIA AKIZUNGUMZA NA WAPIGA KURA WAKE BUKOMBE
Akiwa katika Uwanja wa Bukombe mkoani Geita, Dkt. Samia Suluhu Hassan Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amewasisimua Maelfu ya wananchi waliofurika kumsikiliza kwa shauku na Matumaini makubwa.
Soma Zaidi
MATEMBEZI YA HESHIMA KUELEKEA KWENYE MKUTANO WA KAMPENI ZA UCHAGUZI BUKOMBE
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC) ameongoza matembezi ya maelfu ya vijana wa Bukombe mkoani Geita kuelekea Uwanjani ambapo unafanyika mkutano wa hadhara wa kampeni wa Mgombea wa Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 12 Oktoba 2025.
Soma Zaidi
SERIKALI KUFIKISHA UMEME KWA WACHIMBAJI RUNZEWE
Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt Samia Suluhu Hassan akiongea na wananchi wa Runzewe Mkoani Geita katika Mkutano wa Kampeni Mchana huu.
Soma Zaidi
DKT.NCHIMBI ATUA KIGOMA KUSAKA KURA ZA USHINDI WA KISHINDO ZA DKT. SAMIA
PICHA mbalimbali za Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel Johnn Nchimbi akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kibondo leo Oktoba 12, 2025 kuendelea na mikutano yake ya hadhara ya Kampeni, kusaka kura za ushindi wa kishindo za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan,Wabunge na Madiwani.
Soma Zaidi