🗓ï¸BILA CCM MADHUBUTI NCHI YETU ITAYUMBA
Akiwa katika mkutano mkubwa wa kampeni uliofanyika leo Butiama Mkoani Mara, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza kwa msisitizo mkubwa kuwa uimara wa Taifa letu unategemea Uimara wa CCM.
Soma Zaidi
TUMETEKELEZA NDOTO YA MWL. NYERERE SERIKALI KUHAMIA DODOMA
Mgombea wa kiti cha Urais kupitia tiketi ya CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake ya kampeni Mkoani Mara asubuh ya leo.
Soma Zaidi
Dkt. Hussein Ali Mwinyi asema atayatekeleza Mambo Matatu Muhimu Kwa Vijana
Kusini Unguja, Zanzibar – Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameyataja mambo matatu ambayo atayatekeleza kwa vijana endapo atachaguliwa katika uongozi ujao
Soma Zaidi
RAIS MWINYI AISHUKURU SERIKALI YA OMAN KWA KUENDELEZA USHIRIKIANO NA ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Serikali ya Oman na kupongeza uhusiano mwema wa kindugu na kihistoria uliopo kati ya Zanzibar na Oman
Soma Zaidi
SERIKALI IMETOA TRILIONI 3.5 KUWAWEZESHA VIJANA – MAJALIWA
Mbeya, Oktoba 10, 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanikiwa kutoa zaidi ya shilingi trilioni 3.5 kufikia mwaka 2024 kwa ajili ya uwezeshaji wa vijana kiuchumi, ikilinganishwa na shilingi bilioni 904 zilizotolewa mwaka 2021.
Soma Zaidi