UVCCM
Tafadhali subiri...
UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Habari & Matukio

Habari za CCM, Habari za Vijana, Habari za Maendeleo n.k

KARIBU SANA MAMA, MAKAMBAKO TUPO PAMOJA NAWE
06 Sep, 2025
00:00

KARIBU SANA MAMA, MAKAMBAKO TUPO PAMOJA NAWE

Mapema asubuhi ya leo, maelfu ya wananchi wa Makambako wamejitokeza kwa wingi wakiwa na furaha, hamasa na shangwe kubwa kumsubiri Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Soma Zaidi
KISHINDO CHA DKT.NCHIMBI NYANG'HWALE NI USHINDI TU
05 Sep, 2025
00:00

KISHINDO CHA DKT.NCHIMBI NYANG'HWALE NI USHINDI TU

Maelfu ya wananchi wa Nyang’hwale, mkoani Geita leo Septemba 5, 2025 wamejitokeza kwa wingi katika Uwanja wa Saba Saba kumpokea na kumsikiliza Mgombea Mwenza wa Urais wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiendelea na mikutano ya kampeni za CCM. Mapokezi hayo yameonesha imani kubwa ya wananchi kwa CCM na kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mgombea Urais wa CCM.

Soma Zaidi
Dkt. Nchimbi: Utafiti Maeneo ya Madini Utaongezeka kwa 50%
05 Sep, 2025
00:00

Dkt. Nchimbi: Utafiti Maeneo ya Madini Utaongezeka kwa 50%

Mgombea mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amesisitiza kuwa Serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, endapo itapewa ridhaa ya kuingia madarakani tena, itahakikisha inatenga maeneo ya kutosha kwa Wachimbaji Wadogo wa Madini na kuongeza kiwango cha utafiti wa madini kutoka asilimia 16 hadi 50.

Soma Zaidi
DKT.ASANTENI SANA NJOMBE, NIMESHUHUDIA UPENDO NA MAPOKEZI MAKUBWA
05 Sep, 2025
00:00

DKT.ASANTENI SANA NJOMBE, NIMESHUHUDIA UPENDO NA MAPOKEZI MAKUBWA

Maelfu ya wananchi wa Njombe wamejitokeza kwa wingi kumpokea na kumsikiliza Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika mkutano wa kampeni uliofanyika mkoani humo.

Soma Zaidi
KIJANI ILANI CHATBOT – NJOMBE
05 Sep, 2025
00:00

KIJANI ILANI CHATBOT – NJOMBE

Wananchi wa Njombe wamechat na *Kijani Ilani ChatBot,* wakijionea moja kwa moja utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020–2025 na kujionea mipango bora ya Ilani ya 2025-2030 katika mkoa wao. Kilimo, Barabara, afya, elimu,Viwanda,Uwekezaji nishati, Huduma bora za jamii maendeleo yanaonekana na kuguswa na wananchi wote.

Soma Zaidi
Rais Samia: Njombe Mmeshuhudia Maendeleo Makubwa, Tutaendelea zaidi
05 Sep, 2025
00:00

Rais Samia: Njombe Mmeshuhudia Maendeleo Makubwa, Tutaendelea zaidi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameushukuru mkoa wa Njombe kwa mapokezi makubwa na upendo waliomuonesha alipowasili kwa ajili ya mkutano wa kampeni za CCM. Mapokezi hayo, yaliyojaa shangwe na furaha, yameonesha mshikamano mkubwa wa wananchi na imani yao kwa CCM na viongozi wake.

Soma Zaidi