SERIKALI ITAJENGA MATENKI MAKUBWA 3 YA KUHIFADHI MAFUTA ZANZIBAR
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya CCM ambae pia ni rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, Leo amezindua kampeni Gombani-Zanzibar.
Soma Zaidi
CHAKA 2 CHAKA KUINADI ILANI
Mgombea wa Urais kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi dkt. Samia Suluhu na Mgombea mwenza Balozi Emmanuel Nchimbi wanaendelea kuchanja mbuga kuelekea Oktoba hivyo bado siku 44 CCM itengeneze Historia.
Soma Zaidi
VIJANA TABORA WAPATA FURSA ZA AJIRA MPYA KUPITIA ILANI YA CCM 2025–2030
Kazi kwa Vijana, Maendeleo kwa Taifa Kupitia Ilani ya CCM 2025 – 2030, Serikali imejipanga kuhakikisha vijana wanapata nafasi za ajira zenye tija Katika miaka mitano ijayo, mamilioni ya vijana watanufaika na fursa hizi ambapo Mkoa wa Tabora nao upo mstari wa mbele kupata ajira mpya kwenye ualimu na afya.
Soma Zaidi
IJUE ILANI YA CCM NGUZO ZA MAENDELEO YA TAIFA
Katika sekta ya nishati na miundombinu, Ilani ya CCM inalenga kupeleka umeme vijijini, kujenga barabara, madaraja, reli na bandari, Hatua hizi ni injini ya ukuaji wa uchumi na zinaunganisha wananchi wote bila kubagua.
Soma Zaidi
IJUE ILANI YA CCM NGUZO ZA MAENDELEO YA TAIFA KATIKA SEKTA YA AFYA
Kwa upande wa afya, kipaumbele kimewekwa katika kuimarisha huduma za msingi, kujenga vituo vya afya, hospitali za kisasa na nyumba za watumishi.
Soma Zaidi
JE, UMEUONA MKONO WA MAMA ITIGI-SINGIDA?
Leo ni siku ya kihistoria kwa wananchi wa Itigi, Singida, ambao wamejumuika kwa Shauku kubwa kumpokea Dkt Samia Suluhu Hassan Mgombea wa Urais aliyeonyesha nyuso za furaha, akiwapungia mikono wananchi na wakazi wa Itigi, akionyesha ukaribu na upendo kwa kila mmoja, Sasa ni wakati wa kuungana, kuimarisha mshikamano wa wananchi na kuonyesha upendo kwa Maendeleo.
Soma Zaidi